Baba wa Milele

Sala ya penye punje kubwa ya Rozari ya Huruma ya Mungu.

Baba wa Milele, ninakutolea Mwili na Damu, Roho na Umungu, wa Mwanao Mpenzi sana, Bwana wetu Yesu Kristu, kwa ajili ya malipizi ya dhambi zetu, na dhambi za dunia nzima.

huruma ya mungurozarihuruma

← Back to Divine Mercy