Amri za Kanisa

Amri za Kanisa Katoliki kwa waamini.

AMRI ZA KANISA.

1. Hudhuria misa takatifu, dominika na sikukuu zilizoamriwa.
2. Funga siku ya jumatano ya majivu; usile nyama siku ya ijumaa kuu.
3. Ungama dhambi zako walau mara moja kila mwaka.
4. Pokea Ekaristi takatifu hasa wakati wa Paska.
5. Saidia kanisa katoliki kwa zaka.
6. Shika sheria katoliki za ndoa.

amriamri za kanisakanisa katolikimafundisho

← Back to Common Prayers